Friday, April 19, 2024

Mama Ngina dares KRA to touch her property over taxes

Former first lady Mama Ngina Kenyatta has come out raging in anger over alleged tax evasion allegations. This comes as accusations grow that the Kenyatta family evaded paying taxes during the tenure of Uhuru Kenyatta as the fourth president of Kenya.

Reacting to the accusations, Mama Ngina dared KRA to auction her property if they prove that she has been evading paying taxes.

Ukikosa kulipa ile unatakiwa kulipa, lazima vitu vyako vitachukuliwa na kuuzwa. Kwa hivyo hakuna haja…hakuna mambo ya kuwaharibia wengine majina ndio watu wasikike eti wanafanya kazi, wanaendesha nchi, hapana,” she was quoted as saying by Royal Media Services’ Citizen Tv.

Mama Ngina was quoted while speaking at Tewe in Mpeketoni, Lamu West on Saturday.

Mtu ashtakiwe alipe ile kitu anatakiwa kulipa. Na kama ni mimi, ata nikiwa na mwaka mmoja nimekosea bila kulipa, mali ichukuliwe ilipe ile tax. Kwa hivyo hakuna haja ya kufanya siasa hivi na vile…na watu wanajua hawasemi ukweli, wanataka tu kusema ndio wasikike eti wanataja majina,” she said.

Naskia mengine nasemwa eti wengine wengine hawatoi kodi. Nashangaa kwa sababu kila mtu anaamka anasema hii na mwingine anaamka anasema hii lakini serikali iko na laini yake ya vile mambo inaendeshwa.”

NCBA: Sh. 350mn tax waiver we got from Uhuru is ‘nothing’. We’re ready to repay

Mambo ya kodi income tax ni lazima; mkubwa na mdogo kulipa kulingana na uwezo wake na mapato yake. Iyo si kazi ya kuzungmuza katika kwa magazeti kwa mikutano ama tv,” she said.

Connect With Us

320,543FansLike
14,108FollowersFollow
8,436FollowersFollow
1,900SubscribersSubscribe

Latest Stories

Related Stories